Serikali kupitia Mapendekezo ya Sheria za Kifedha (Finance Bill 2017) imeruhusu wawekezaji wa kigeni kushiriki katika ununuzi wa hisa za awali (IPO) katika sekta ya mawasiliano, mdhibiti wa masoko ya hisa na mitaji alisema, Ijumaa.
Ruhusa hii inawawezesha wageni kushiriki pia katika hisa za awali (IPO) za Vodacom Tanzania Plc, kampuni tanzu ya Vodacom Group ya Afrika Kusini.
IPO ya Vodacom ilizinduliwa mwezi Machi na ilifunguliwa tu kwa wawekezaji wa ndani, lakini awali haikufanya vyema kutokana na hisia za ukwasi katika soko la ndani na kuongezewa muda.
Tanzania lifts ban on foreigners investing in telecom IPOs
Tanzania has lifted the banning on foreign investors participating in initial public offerings in the telecoms sector, the capital markets regulator said on Friday.
The removal of the restriction allows foreigners to take part in the IPO of Vodacom Tanzania Plc, a subsidiary of South Africa’s Vodacom Group.
The Vodacom IPO was launched in March and initially only open to local investors, but take-up has been sluggish amid concerns over adequate liquidity in the local market.