Huduma Zaidi / More Services

Muhunda Resources Limited inawatangazia wateja wake na wawekezaji wote kuwa inaendelea kutoa ushauri wa kifedha na kiuwekezaji katika ofisi zake za mjini Musoma.

Kampuni yetu hivi sasa imeongeza utoaji wa huduma zake za ushauri kwa kuongeza huduma za ushauri wa dhamana na hati-fungani za Serikali (Treasury Bills na Treasury Bonds) za Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuongezea huduma zetu tunazotoa za ushauri wa kiuwekezaji katika Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE.

Gharama za ushauri zinazotozwa na kampuni yetu, Muhunda Resources Limited ni kuanzia shilingi elfu tano tu (5,000/-) za kitanzania.

Karibuni Nyote!

Muhunda Resources Limited informs its existing clients and investors that we are continuing to provide financial and investment advice at our Musoma offices.

Our company has now expanded its consulting services to include financial advice of Government Securities (Treasury Bills and Treasury Bonds)’ purchase that are offered through the Bank of Tanzania (BOT) in addition to our brokerage services for the Dar es Salaam Stock Exchange, DSE.

The advice cost charged by our company, Muhunda Resources Limited starts at Tanzania Shillings 5,000/- (about USD 2.25).

You are all welcome!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *