AngloGold Seeks Talks to Break Impasse on Mine Laws

  • CEO says he’s waiting for Tanzania to set date for talks
  • AngloGold may sell some mines if the price is right, CEO says.

AngloGold Ashanti Ltd. is seeking talks with the Tanzanian government to break a deadlock over changes to mining laws that the firm has said it will challenge through arbitration.

 “We have reached out to the government for negotiations,” Chief Executive Officer Srinivasan Venkatakrishnan said in an interview with Bloomberg Television at a Bank of Montreal mining and metals conference in Florida. “We are agreeing the logistics on when we meet with the government.”

Last year, Tanzania approved laws that enable it to renegotiate contracts with mining companies as well as other measures such as higher royalty payments. AngloGold, which plans to extend the life of its Geita mine in the country, has since lodged an appeal with the United Nations Commission on International Trade Law to have a mine development agreement it signed with Tanzania in 1999 upheld.

The Johannesburg-based company supports Tanzania’s attempts to improve citizens’ living standards and root out corruption, Venkatakrishnan said. The government has been in a year-long fight with another producer, Acacia Mining Plc, after placing a ban on mineral concentrate exports and saying that firm under-reported the value of its shipments.

 Other Mines

AngloGold, which has sold some South African mines following heavy losses, last week said it will reopen its idled Obuasi mine in Ghana after the country approved a plan to redevelop the asset as a more profitable, mechanized operation.

The CEO said AngloGold will “never say never” on moving its primary listing from Johannesburg, may still sell more mines and is also open to partnerships at Obuasi.

“We are quite comfortable with the diverse nature of the portfolio,” Venkatakrishnan said. “Having said that, for the right offer, every one of the assets we have to look at in terms of potentially putting it on a disposal track if we choose to.”

He declined to comment when asked if London would be a logical place for the primary listing, saying only that a shift from Johannesburg is “certainly an option we have to continue to look at. Whatever delivers best value for shareholders we’ll look at.”

Mining companies in the Democratic Republic of Congo, where AngloGold has a joint venture with Randgold Resources Ltd., are optimistic that President Joseph Kabila will return a proposed, controversial mining code back to Parliament, Venkatakrishnan said.

— With assistance by James Attwood.

More Info https://www.bloomberg.com/news/articles/2018-02-26/anglogold-seeks-tanzania-talks-to-break-impasse-on-mine-laws

 

Kenya na Tanzania zakubaliana kutatua vikwazo vya kibiashara

Na Mohamed Ahmed                                                                                                          January 31, 2018                                                                                                                                                                                    Kenya na Tanzania zimekubaliana kuondoa tofauti zao na kuanza kushughulikia kutatua vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili.

Katika taarifa ya pamoja iliyotolewa mjini Mombasa, nchi hizo mbili zitatoa ripoti yao Alhamisi kuhusu makubaliano ya kuondoa vikwazo visivyo vya kodi ili kuongeza biashara ya ndani ya kikanda.

Katibu Mkuu wa Biashara ya Kimataifa Chris Kiptoo na Mwenzake wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji wa Tanzania, Elisante ole Gabriel katika Mkutano wao uliofanyika katika Hoteli ya Sarova Whitesands, wamekubaliana kuondoa mikwamo ya kibiashara ambayo imetishia uhusiano mzuri kati ya nchi hizi mbili jirani.

Wamesema nchi hizi mbili zimekubaliana kuruhusu uagizaji na usafirishaji wa bidhaa kati yao.

“Tayari tumeweza kutatua usafirishaji wa ngano, maziwa na bidhaa za LPG. Zote hizi sasa zinasafirishwa kupitia mipaka bila tatizo lolote. Ili kuhakikisha kwamba tunaboresha biashara yetu ya kikanda tumeamua kuwa tutaondoa vikwazo, “Dr Kiptoo alisema.

MPANGILIO

Kutakuwa na tume ya kuthibitisha katika mpangilio maalum ili makubaliano kuwa ya mafanikio.

Dr Kiptoo alisema mazungumzo haya yaliyofanywa na wawakilishi wa nchi hizi mbili wamekubaliana kuwa na mikakati ya majadiliano ili kuboresha usafirishaji wa bidhaa.

“Tumekubaliana pia kuwa tuwe tukiwatembelea wananchi katika mipaka yetu na kutatua baadhi ya matatizo ambayo wanayo ili kuboresha mazingira ya kibiashara kati ya nchi zetu mbili,” aliongeza.

Prof Gabriel alisema mataifa haya mawili yataondosha “kodi zisizohitajika” za bidhaa.

Aliongeza kuwa Kenya na Tanzania watakuwa na mpango-kazi wa kutatua changamoto zinazowakabili katika biashara.

KUTOKUKUBALIANA

“Katika kila serikali lazima pawepo na kutokukubaliana lakini hatutaki tofauti zisizo na msingi amabazo zinaweza kutatuliwa.

Tuko katika mpango wa kuboresha viwanda vyetu na kukubaliana kufanya raia wetu kuendeleza maslahi ya kitaifa,” alisema Prof Gabriel.

Tofauti hizi mbili za hivi karibuni zilizotokana na mnada wa ng’ombe zaidi ya 10,000 na uchomaji wa vifaranga 6,400 vya Kenya na mamlaka za Tanzania.

MASUALA MADOGO

Dk Kiptoo amechukulia uamuzi wa serikali ya Tanzania kama “masuala madogo ambayo hayapaswi kupewa umaarufu mkubwa” na kuongeza kuwa “nchi hizo mbili zinayashughulikia vizuri”.

“Tumeona biashara kati ya nchi hizi mbili ikiboreka. Uhusiano kati ya Tanzania na Kenya ni mzuri na tunafanya vyema, “alisema.

Hata hivyo, alikubali kuwa katika miaka mitatu iliyopita, biashara kati ya nchi hizo mbili imepungua.

Kwa sababu hiyo, alisema, wanajitahidi kuona uwekezaji zaidi katika kila nchi kukua hususan katika bidhaa za kilimo na biashara.

“Tumejiuliza kwa nini biashara inapungua kati ya nchi zetu mbili na ni nani anayechukua sehemu kubwa ya biashara hiyo na tunafanyia kazi njia bora zaidi zinazofaa kushughulikia yote hayo,” alisema Dr Kiptoo.

More Info Kenya and Tanzania agree to resolve trade barriers

Petra Diamonds delivers record production

Megan Wyngaardt                                                                                                        29th January 2018

In the six months to December 31, LSE-listed Petra Diamonds saw a 10% production increase to 2.2-million carats across its operations, which was in line with guidance.

This represented record production for any six-month period for the company.

This year, Petra is guiding for a lower grade at Cullinan, largely offset by a higher average diamond price, resulting in the revenue per tonne remaining materially in line with expectations.

Meanwhile, the miner noted that recoveries at Cullinan’s new plant to date indicated that a steady-state higher grade could be achieved by recovering larger quantities of small, low value diamonds; however, it would be uneconomic to do so and would not be in line with the company’s strategic focus on value rather than volume production.

For this reason, Petra’s full-year revenue is expected to remain in line with current consensus. Production guidance has been reduced to around 4.7-million carats, from around five-million carats, owing to the lowered grade guidance at Cullinan as well as the labour action at Petra’s South African mines in the first quarter.

Earnings before interest, taxes, depreciation and amortisation (Ebitda) were also expected to be negatively affected by around 15% versus the current consensus, primarily owing to the recent strengthening of the rand and its potential impact on Petra’s cost base in dollar terms; operating costs otherwise remain well controlled.

Meanwhile, owing to ongoing constraints in Tanzania, such as the government blocking a 71 000 ct parcel from its Williamson mine, Petra has reported a 1% decline in its revenue to $225.2-million, while the diamonds sold decreased by 5% to 1.81-million carats, also impacted on by Williamson‘s first parcel not being sold.

Rough diamond prices on a like-for-like basis were also down 3.5%. However, higher average values were realised at Finsch, Cullinan and Koffiefontein owing to the improved product mix associated with the higher production levels of undiluted ore and the lower contribution of tailings carats.

Underground expansion projects at Finsch and Cullinan continued to deliver increased volumes of undiluted ore from newly established mining areas.

Throughput ramp-up at the new Cullinan plant is also progressing well, with one-million tonnes run-of-mine (RoM) treated during the second quarter, achieving planned RoM capacity.

Five stones larger than 100 ct – though of poor quality – were recovered through the new plant in the first half. These include a 574.15 ct stone, which is the largest stone recovered by Petra at Cullinan to date, and a number of other higher-value stones; this is in line with the expected increase in special stones as indicated by historical records, as mining from the Western side of the orebody increases. Plant process optimisation is ongoing.

Meanwhile, the miner expects to be in breach of its December 31, 2017 Ebitda-related covenant measurement ratios associated with its banking facilities. The company has, therefore, started formal discussions with its lender group, evaluating both the December 2017 and June 2018 measurements, bearing in mind the risks to covenant compliance associated with potentially not selling the blocked Williamson parcel and the potential further strengthening of the rand.

These discussions were expected to be concluded during the third quarter, with Petra remaining confident that the lender group would continue to support the company as it progressed towards its targeted production profile.

More Info Petra Diamonds

Strong demand pushes up meat production

BY DAILY NEWS REPORTER                                                              

INCREASE in demand in the mining and tourism industries pushed up meat production to 648,810 tonnes in 2016 from 579,757 tonnes in the previous year.

The Bank of Tanzania (BoT) 2016/17 annual report also attributed the increased meat production to the expansion of export markets mainly in Mozambique, Vietnam, Oman, Qatar and United Arab Emirates.

Similarly, there was a rise in milk production to 2,127.0 million litres in the year under review from 2,058.0 million litres in 2015. Livestock sub-activity grew by 2.6 per cent in 2016 compared with 2.4 per cent in 2015, due to increase in the number of livestock sold through registered markets following improvement made on markets infrastructure including renovation and installation of weighing scales in the auctions.

Fishing activity recorded a growth rate of 4.2 per cent in 2016 compared with 2.5 per cent in 2015, while forestry grew by 3.4 per cent compared with 2.6 per cent. The improvement recorded in 2016 was largely due to an increase in production of wood and wood products and other forestry products, including tourism hunting and honey harvesting and production of bees’ wax.

In the agricultural sector, the production of all major traditional export crops declined in the 2016/17 season due to unfavourable rains and low farm-gate prices, resulting into slower growth of agriculture activities by 2.1 per cent compared to 2.3 per cent in 2015. The Bank report also attributed the fall in export prices and inadequate farm inputs that contributed to the decline in production of traditional export crops.

“Save for cashew nuts whose production increased, coffee, tobacco, cotton, tea, and sisal declined in 2016/17,” stated the report. The increase in cashew nut production was mostly caused by better farm-gate prices, timely availability and application of agricultural inputs and favourable weather conditions.

Unfavourable rains also affected crop production and access to sufficient water to feed the livestock, with crops sub-activity mostly affected, recording annual growth of 1.4 per cent in 2016 compared with 2.2 per cent in 2015.

Production of food crops amounted to 15.9 million tonnes in the period under review compared with 16.1 million tonnes in 2015/16.

Cereals production was estimated at 9.4 million tonnes relative to 9.5 million tonnes a year earlier, while that of non-cereals was 6.5 million tonnes compared with 6.7 million tonnes. Food production in 2016/17 was more than the national food requirement by 19.6 per cent, though lower compared with preceding year.

More Info Strong demand pushes up meat production

Biashara ya nafaka EA kuimarika kufuatia Makubaliano

Biashara ya nafaka katika kanda ya Afrika Mashariki inatarajiwa kuongezeka kufuatia kuimarishwa kwa Itifaki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika viwango vya vyakula vikuu 2017.

Wadau wa mnyororo wa thamani, chini ya Uongozi wa Baraza la Mazao la Afrika Mashariki (EAGC), hivi karibuni jijini Nairobi walizindua viwango 11 vilivyobuniwa kwa minajili ya vyakula vikuu, sampuli na njia za upimaji.

Mkurugenzi Mtendaji wa EAGC, Gerald Masila anasema kufuatia uimarishwaji wa maombi ya matumizi ya viwango, wakulima watafikia masoko bora na makubwa, wakati watumiaji watafurahia bidhaa bora na salama za nafaka.

Makubaliano ya uimarishwaji wa viwango hivyo ambavyo vinatarajiwa kuridhiwa ndani ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, yalizinduliwa na kuwasilishwa kwa utekelezaji wakati wa kumalizika kwa Mkutano wa mwisho wa mwaka wa Wanachama wa EAGC uliofanyika jijini Nairobi mwezi uliopita.

Katibu Mkuu wa EAC, Betty Maina alisema viwango vya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kwa nafaka na jamii ya kunde vilitangazwa rasmi na EAC mwaka 2013.

Lakini, kwa viwango Maina alisema, haviwezi kutekelezwa ili kutambua muundo wa biashara ya nafaka ndani ya kanda kutokana na vikwazo kama vile mahitaji ya usalama na ubora, sampuli na njia za upimaji.

“Mapungufu yaliyopo yanahitaji mapitio, mchakato ambao umekwisha kufikia viwango vya mwaka 2017 vinavyokubalika na Jumuiya,” aliongeza.

Viwango tisa vya kipaumbele vya bidhaa vilivyopitiwa ni mahindi, ngano, mchele, maharage, soya, unga wa mahindi, unga wa ngano, unga wa mtama na unga wa ulezi.

Baadhi ya vigezo vilivyozingatiwa kwa njia ya marekebisho ya viwango vilikuwa viwango vya maudhui ya unyevu, utolewaji rangi nafaka, mazao sumu, miongoni mwa mengineyo.

Baraza la Mazao la Afrika Mashariki (EAGC), kwa msaada kutoka kwa washirika wa Maendeleo pamoja na Mashirika ya Maendeleo ya Kimataifa, SIDA, USAID, DFID, CTA, miongoni mwao; yamekuwa yakishirikiana na Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) katika mchakato wa kuimarisha viwango vya mazao ya nafaka,  mazao  ya jamii ya kunde, na mazao mengine tangu mwaka 2010 na Baraza limehamasisha na kujitolea rasilimali na ushirikishaji wadau katika mchakato huu.

Taarifa Zaidi  EA grain trade to intensify following standards harmonisation

Tanzania government eager to restore investor confidence

The Tanzania government has expressed its desire to kick start the mining industry and restore investor confidence.

This is according to ASX-listed rare earths junior Peak Resources and its CEO Rocky Smith who recently met with the Tanzania government to discuss the company’s Ngualla rare earths project.

“There is clear recognition by officials of the uncertainty that the announcement of the legislative changes created, and they are working pro-actively to demonstrate that Tanzania is still an attractive investment destination and open for business,” Smith says.

Smith also notes that Special Mining Licence (SML) applications will be given priority by the Mining Commission. The Ministry confirmed that Peak Resources’ SML application is one of only three current applications.

“We are extremely encouraged by our ongoing interactions with the Tanzanian government.”

Since the changes to the mining legislation in Tanzania in July this year Peak’s senior executives have spent considerable time in Tanzania continuing to develop the excellent relationship the company enjoys with the government and other stakeholders.

“The Mining Commission will assess project requirements on their own merits on a case by case basis. Early indications from the Ministry are that they understand that the export of the rare earth concentrate to Teesside is a practical requirement for the viability of the Ngualla project. Membership of the new Commission is expected to be announced by the end of the year.”

“These reassurances provide me with confidence that we can look forward to seeing some substantive progress on Ngualla’s final project development permitting in early 2018.”

More Info https://www.miningreview.com/news/tanzania-government-eager-restore-investor-confidence/

Huduma Zaidi / More Services

Muhunda Resources Limited inawatangazia wateja wake na wawekezaji wote kuwa inaendelea kutoa ushauri wa kifedha na kiuwekezaji katika ofisi zake za mjini Musoma.

Kampuni yetu hivi sasa imeongeza utoaji wa huduma zake za ushauri kwa kuongeza huduma za ushauri wa dhamana na hati-fungani za Serikali (Treasury Bills na Treasury Bonds) za Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuongezea huduma zetu tunazotoa za ushauri wa kiuwekezaji katika Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE.

Gharama za ushauri zinazotozwa na kampuni yetu, Muhunda Resources Limited ni kuanzia shilingi elfu tano tu (5,000/-) za kitanzania.

Karibuni Nyote!

Muhunda Resources Limited informs its existing clients and investors that we are continuing to provide financial and investment advice at our Musoma offices.

Our company has now expanded its consulting services to include financial advice of Government Securities (Treasury Bills and Treasury Bonds)’ purchase that are offered through the Bank of Tanzania (BOT) in addition to our brokerage services for the Dar es Salaam Stock Exchange, DSE.

The advice cost charged by our company, Muhunda Resources Limited starts at Tanzania Shillings 5,000/- (about USD 2.25).

You are all welcome!

Barrick yakubaliana na Tanzania pia kutatua tatizo la kodi

Dar es Salaam/Toronto

Barrick Gold (ABX.TO) imesema Alhamisi hii kuwa kampuni inayoimiliki, Acacia Mining (ACAA.L) italipa dola za Marekani milioni 300 (paundi milioni 228.07 za Uingereza) na kugawana ‘faida za kiuchumi’ katika shughuli zake nchini Tanzania katika mpango wa makubaliano yaliyopendekezwa ili kutatua miezi miwili ya mgogoro wake na serikali ya Tanzania.

Mapema Alhamisi, Mwenyekiti wa Barrick, John Thornton aliuambia mkutano wa habari jijini Dar es Salaam kuwa kampuni hiyo imekubali kuilipa Tanzania dola za kimarekani milioni 300 kama ishara ya imani nzuri. Ilifafanua taarifa hiyo baadaye kuwa kampuni yake tanzu, Acacia itafanya malipo hayo.

Tanzania pia itapata sehemu ya asilimia 16 katika migodi mitatu ya dhahabu ya Acacia chini ya makubaliano hayo kwa mujibu wa Barrick na waziri wa serikali ya Tanzania. Acacia imesema imepokea nakala ya mpango wa makubaliano na itautolea ufafanuzi.

Thornton amesema makubaliano hayo yatahitaji idhini ya wanahisa huru wa bodi ya wakurugenzi wa Acacia. Bodi ya wanachama saba ya Acacia ina wakurugenzi wawili kutoka Barrick, mmoja kutoka Acacia na wakurugenzi huru wanne.

Serikali kutoka Indonesia hadi Afrika Kusini zinahitaji udhibiti mkubwa juu ya utajiri wa madini kwa jinsi bei za metali zinavyoongezeka. Baada ya kuhamia katika nchi zenye athari zaidi katika uchimbaji mpya, makampuni ya madini yanakabiliwa na kuongezeka kwa kile kinachoitwa utaifa wa rasilimali.

Barrick, kampuni kubwa duniani ya uchimbaji dhahabu inayomiliki asilimia 63.9 ya Acacia, ilianza mazungumzo na Tanzania mwezi Juni. Serikali ilipiga marufuku mauzo ya madini yasiyochakatwa na kutunga sheria mpya mapema mwaka 2017 ili kuongeza umiliki wa serikali katika migodi.

Acacia mwezi Julai ilipelekewa madai ya kodi za dola za kimarekani bilioni 190 kwa malimbikizo, adhabu na riba. Imekuwa ikituhumiwa na Tanzania kwa ukwepaji wa kodi kwa miaka kadhaa na pia kwa uthamini hafifu wa mauzo yake nje.

Ikiwa kampuni iliyosajiliwa kwenye soko la hisa la Uingereza, hisa za Acacia kwa siku ya Alhamisi zimefungwa zikiwa juu kwa asilimia 16 zikionyesha ahueni waliyopata wawekezaji wake katika makubaliano haya, wachambuzi walisema. Na hisa za Barrick zimefungwa zikiwa chini kwa senti 1 za Kanada kufikia dola za Kanada 20.15.

“Maelezo zaidi na ufafanuzi wa ziada unahitajika kuchunguza kikamilifu athari zake, lakini hadidu za makubaliano zinaonyesha kuwa na athari kidogo tofauti na matarajio,” alisema mchambuzi wa Masoko ya Hisa na Mitaji wa BMO,  Andrew Kaip katika taarifa yake ya Alhamisi.

Marufuku ya kusafirisha nje ilikuwa sehemu ya kushinikiza kwa ujenzi wa kinu cha uchenjuaji (smelter) nchini ili kufanya mauzo ya dhahabu ya nchi kuwa muhimu zaidi.

Rais John Magufuli hakusema kama marufuku ya kusafirisha nje ya nchi yataondolewa. Barrick na serikali itaunda kamati itakayofanyia kazi utatuzi wa madai ya kodi kwa Acacia.

“Kwa kuwa sisi sote ni wanahisa, tunaweza kukaa chini kwa kikombe cha kahawa na tukaamua masuala yoyote yaliyo bora,” Rais Magufuli alisema kwenye televisheni.

Pia aliamuru viongozi wa serikali kuanza mara moja majadiliano na wachimbaji wa almasi na tanzanite kufikia makubaliano kama hayo.

Tanzania ni wazalishaji wa dhahabu wa nne wa ukubwa barani na Acacia ni mchimbaji wake mkubwa zaidi.

Wiki iliyopita, Barrick ilisema uzalishaji wa robo ya tatu ya mwaka ulipungua kwa sababu ya masuala ya Tanzania.

Taarifa Zaidi: Barrick Gold, Tanzania reach partnership deal

“Rais Magufuli ni Kiongozi kwa wakati huu, nchini na barani”

  • Shirika lililosajiliwa Toronto, Tanzanian Royalty Exploration (CN: TNX) limemshukuru Rais John Magufuli, kwa kusema kuwa uwazi anaohitaji Rais katika sekta ya rasilimali, “ni wito ulio wazi kwa taratibu za pande zote kunufaika, na sio kutaifisha”.

Tanzania hivi karibuni ilipitisha sheria mpya zilizotungwa ili kuongeza mapato na kuipa uwezo serikali wa kufuta mikataba mibovu na kudhibiti usuluhishi wa kimataifa.

Mbali na sheria mpya, serikali imezuia mauzo ya makinikia ya dhahabu na shaba, ambapo uamuzi umesababisha kampuni ya Acacia Mining (LN: ACA) kutozwa malimbikizo ya kodi na penati zake mpaka kufikia dola za Kimarekani bilioni 190 katika migogoro na mchimbaji huyo, na mwezi uliopita ilitaifisha zaidi ya katati 70,000 za almasi kutoka mgodi wa Williamson unaomilikiwa kwa pamoja na Petra Diamonds (LN: PDL).

Hata hivyo Tanzanian Royalty Exploration, ambayo ina umiliki wa asilimia 45% ya mali na mapato ya mradi wa dhahabu wa Buckreef na serikali ya Tanzania, imesema kampuni zinazozalisha malighafi za madini zinapaswa kuwa na usawia katika kugawana mapato na serikali.

“Kama mfanyabiashara ninaefanya kazi nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 20, ni maoni yangu kwamba kufanya kazi kwa imani nzuri ni muhimu nchini Tanzania kama ilivyo kila mahali,” mwenyekiti mtendaji  huyo, James Sinclair alisema.

“Rais Magufuli ni Kiongozi kwa wakati huu, nchini na barani.”

Alisema kampuni hiyo haikuathiriwa na sheria mpya na anatoa maoni ya hivi karibuni kuhusu msemaji wa serikali, ambaye alisema hakuna ukweli katika ripoti zinazodai kwamba nchi ilikuwa na mikakati kutaifisha miliki za migodi.

Kampuni hiyo pia ilianza mazungumzo na serikali mwezi Julai ili kufadhili mradi wa kisasa gravity/CIL katika mgodi wa dhahabu wa wazi (open pit) wa Buckreef ambao una uwezo wa rasilimali zaidi ya ounces milioni 1 ardhini.

Kwa Taarifa Zaidi: “President Magufuli is a man for this time, country and continent”

Thamani ya Hisa za Kampuni ya Almasi, Petra Diamonds Zashuka baada ya Kukamatwa kwa Furushi la Almasi zenye Uthamini Hafifu

LONDON, Uingereza

Thamani ya hisa za kampuni ya Petra Diamonds zaanguka baada ya Serikali ya Tanzania kukamata furushi lenye vipande vya almasi zenye thamani ya dola za kimarekani milioni 15 (takribani sh. bilioni 33) kama sehemu ya Uchunguzi wa Kamati ya Bunge katika madai ya uhalifu katika Sekta ya Almasi.

Kampuni hii iliyoorodheshwa kwenye Soko la Hisa na Dhamana la London imelazimika kufunga mgodi wake wa Williamson, chanzo cha mawe haya, kwa kuwa “wafanyakazi wake muhimu” wanasaidia mamlaka kwa uchunguzi kuangalia jinsi almasi zinavyothaminishwa.

Hisa za kampuni hiyo, ambayo inasema “haijapewa taarifa rasmi” za sababu ya uchunguzi, zimeanguka kwa karibu asilimia 25% wakati soko lilipofunguliwa, kabla ya kurejesha thamani kwa asilia 6% chini, chini ya senti za kiingereza 6.2p kufikia senti 83.75p.

Almasi zilikamatwa uwanja wa ndege jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti wakati zikitayarishwa kusafirishwa  kwa mauzo jijini Antwerp, na maafisa wa Tanzania wakidai kutothaminishwa ipasavyo.

“Wakati Kampuni Almasi ya Williamson katika nyaraka zake kuonyesha kwamba thamani ya almasi hizo ni dola za kimarekani milioni 14.798, uthamini mpya uliofanywa na serikali umeonyesha kuwa thamani halisi ya almasi hizo ni dola za kimarekani milioni 29.5,” ilisema taarifa ya Wizara ya Fedha.

“Miongoni mwa hatua za kisheria zitakazochukuliwa ni pamoja na kutaifishwa kwa almasi hizo zilizokamatwa baada ya kuthibitika kuwepo udanganyifu uliohusishwa katika kuonyesha thamani halisi ya madini hayo.”

Tanzania imeingia mtafaruku na makampuni kadhaa ya madini ya kigeni tangu uchaguzi wa 2015 wa John Magufuli, ambaye ni Rais anaejaribu kwa nchi kupata faida ya thamani itokanayo na mali ghafi.

Serikali yake juma lililopita iligundua “makosa” katika mchakato wa hisa za serikali katika Mgodi wa Williamson uliopunguzwa kutoka 50% hadi 25%, wakati pia Magufuli alishatoa agizo la uchunguzi juu ya madai ya uthaminishwaji wa chini kwa mauzo ya almasi nje.

Kampuni ya Petra inasema haijafahamishwa rasmi sababu za uchunguzi, ingawa ilitoa nyaraka kadhaa zinazohusiana na mchakato wa uthaminishwaji na malipo kwa serikali ya Tanzania.

Kampuni hiyo imesema kuwa usafirishaji wa karati za almasi 71,645 ulipewa thamani ya awali wa karibu dola milioni 14.8 na Shirika la Uthamini wa Almasi na Vito kabla ya kuandaliwa kwa kusafirishwa nje kwa mauzo.

Nyaraka za malipo ya mrabaha kwa serikali inaonyesha malipo ya karibu dola za kimarekani 888,000 pamoja na ada ya “ukaguzi na usafirishaji” ya karibu dola za kimarekani 150,000.

Kampuni hiyo pia imesema kuwa jumla ya malipo kwa serikali inategemea kile kilichopatikana kutokana na mauzo ya vito hivyo huko Antwerp, badala ya huo uthamini wa awali.

“Utaratibu wa ushindani wa wazi kwa kandarasi unaofanywa na kampuni ya Petra pia hutumiwa na makampuni mengine ya almasi na ina rekodi iliyothibitishwa ya uwazi katika bei,” kampuni hiyo ilisema.

“kampuni ya Petra ipo tayari kushirikiana na serikali ili kutatua suala hili na kuhakikisha kwamba taarifa sahihi zinapatikana kwa pande zote.”

“Kampuni itakuwa na fursa ya kuyashughulikia masuala mengine yote yaliyoibuliwa na matokeo ya Uchunguzi wa kamati ya Bunge mara itakapopokea nakala ya ripoti.”

Kampuni imesema shughuli za madini “zinafanyika kwa uwazi na kwa kufuata sheria kamili za Tanzania na Mchakato wa Makubaliano ya Kimberley”.

“Serikali ina fursa kamili ya uangalizi wa almasi zinazozalishwa katika mgodi, ambao hudhibitiwa na wawakilishi kadhaa wa serikali kwa kushirikiana na kampuni tangu hatua ya upatikanaji hadi hatua ya uuzwaji.”

Taarifa Zaidi:   Petra Diamonds market value falls after Tanzania seizes $15m shipment